Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, Ahabu mufalme wa Israeli akamwita mutumishi mumoja, akamwamuru: “Haraka! Kwenda umulete Mikaya mwana wa Imula.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:9
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, mufalme wa Israeli pamoja na Yosafati mufalme wa Yuda walikuwa wakiikaa katika viti vyao vya kifalme, wakiikaa kwenye kiwanja cha kupepetea ngano kwenye mulango wa kuingilia katika muji wa Samaria, nao walikuwa wakivaa nguo zao za kifalme. Wakati ule manabii wote wakakuwa wanatabiri mbele yao.


Naye mufalme wa Israeli akamujibu Yosafati: “Kungali mumoja, Mikaya mwana wa Imula. Yeye tunaweza kumwomba shauri la Yawe. Lakini ninamuchukia sana kwa sababu yeye, hatabiri jambo zuri juu yangu hata kidogo, lakini baya tu.” Yosafati akamwambia: “Si vizuri kwa mufalme kusema hivyo.”


Yehu akaangalia juu na kusema: “Ni nani anayekuwa upande wangu?” Wakubwa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kwa kumwangalia kutoka kwenye dirisha,


Basi, Ahabu, mufalme wa Israeli akamwita mukubwa mumoja na kumwamuru: “Haraka, kwenda umulete Mikaya mwana wa Imula.”


Tena wamoja kati ya watoto wako wanaume watapelekwa, nao watakuwa matowashi watakaotumika katika nyumba ya mufalme wa Babeli.


Muda ulipotimia ambapo wale vijana wangepelekwa kwa mufalme kama alivyokuwa ameagiza, yule mukubwa akawapeleka vijana wote mbele ya Nebukadneza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ