Wakati ule, mufalme wa Israeli pamoja na Yosafati mufalme wa Yuda walikuwa wakiikaa katika viti vyao vya kifalme, wakiikaa kwenye kiwanja cha kupepetea ngano kwenye mulango wa kuingilia katika muji wa Samaria, nao walikuwa wakivaa nguo zao za kifalme. Wakati ule manabii wote wakakuwa wanatabiri mbele yao.