1 Wafalme 22:53 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200253 Ahazia alitenda maovu mbele ya Yawe; alifuata mwenendo wa baba yake na mwenendo wa mama yake Yezebeli, na wa Yeroboamu mwana wa Nebati ambaye aliwasukuma watu wa Israeli watende zambi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, akanyoosha kitu kinachokuwa kama vile mukono, akanikamatia kwa nywele zangu. Roho wa Mungu akaninyanyua kati ya dunia na mbingu, akanipeleka mpaka Yerusalema nikiwa katika maono hayo ya Mungu. Nikafika kwenye kiingilio cha mulango wa baraza ya ndani inayoelekea upande wa kaskazini, pahali palipowekwa sanamu iliyomuletea Mungu wivu.