Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

52 Katika mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Yosafati mufalme wa Yuda, Ahazia mwana wa Ahabu alianza kutawala Israeli. Alitawala kwa muda wa miaka miwili, akiwa Samaria.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:52
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nadabu alitenda maovu mbele ya Yawe; alifuata mwenendo wa baba yake na kutenda zambi ileile ambayo aliwasukuma watu wa Israeli watende.


Basha alitenda maovu mbele ya Yawe; alifuata mwenendo wa Yeroboamu na kutenda zambi ileile ambayo aliwasukuma watu wa Israeli watende.


Hakuna mutu aliyekusudia kutenda maovu mbele ya Yawe kama Ahabu, ambaye alishawishiwa na Yezebeli, muke wake.


Ahabu alipokufa, mwana wake Ahazia alitawala kwa pahali pake.


Hata hivyo, Yoramu aliendelea kutenda zambi ileile ya Yeroboamu mwana wa Nebati ambaye aliwasukuma watu wa Israeli watende zambi. Hakuiacha.


Kwa sababu Ahazia alikuwa mukwe wa jamaa ya Ahabu, naye alifuata mwenendo wa jamaa hiyo ya Ahabu, alitenda maovu mbele ya Yawe, kama vile jamaa ya Ahabu walivyofanya.


Wakati Yoramu alipomwona Yehu, alimwuliza: “Yehu, unakuja kwa amani?” Yehu akamujibu: “Amani gani, wakati makahaba na wachawi wa Yezebeli ni wengi?”


Kwa sababu mama yake alikuwa mushauri wake katika kutenda maovu, naye vilevile alifuata mienendo ya jamaa ya Ahabu.


Basi yule binti akatoka na kwenda kumwuliza mama yake: “Niombe nini?” Mama yake akamujibu: “Omba kichwa cha Yoane Mubatizaji.”


Sikiliza, ninasimama kwenye mulango na ninapiga hodi. Kama mutu akisikia sauti yangu na kunifungulia, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye atakula pamoja nami.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ