Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Katika mwaka wa ine wa utawala wa mufalme Ahabu wa Israeli, Yosafati mwana wa Asa alianza kutawala Yuda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:41
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Asa akakufa, akazikwa katika makaburi ya kifalme, katika muji wa Daudi, naye mwana wake Yehosafati akatawala kwa pahali pake.


Lakini katika mwaka wa tatu, Yosafati mufalme wa Yuda alifika kumutembelea Ahabu mufalme wa Israeli.


Ahabu alipokufa, mwana wake Ahazia alitawala kwa pahali pake.


Yosafati alikuwa na umri wa miaka makumi tatu na mitano alipoanza kutawala. Alitawala akiwa Yerusalema kwa muda wa miaka makumi mbili na mitano. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Silihi.


Mwana wa Solomono: Rehoboamu, mwana wa Rehoboamu: Abiya, mwana wa Abiya: Asa, mwana wa Asa: Yosafati, mwana wa Yosafati: Yoramu, mwana wa Yoramu: Ahazia, mwana wa Ahazia: Yoasi, mwana wa Yoasi: Amazia, mwana wa Amazia: Azaria, mwana wa Azaria: Yotamu, mwana wa Yotamu: Ahazi, mwana wa Ahazi: Hezekia, mwana wa Hezekia: Manase, mwana wa Manase: Amoni, mwana wa Amoni: Yosia.


Naye Yosafati mwana wake akatawala pahali pa baba yake Asa, akajiimarisha juu ya inchi ya Israeli.


Yosafati alikuwa na umri wa miaka makumi tatu na mitano alipoanza kutawala inchi ya Yuda. Alitawala kutoka Yerusalema kwa muda wa miaka makumi mbili na tano. Jina la mama yake ni Azuba binti ya Silihi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ