Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kisha akamwuliza Yosafati: “Utaandamana nami kwa kupigana kule Ramoti-Gileadi?” Naye Yosafati akamujibu mufalme wa Israeli: “Ndiyo, mimi na wewe ni mutu mumoja, watu wangu ni watu wako, farasi wangu ni farasi wako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:4
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mufalme wa Israeli akaenda pamoja na mufalme Yosafati wa Yuda kuushambulia muji wa Ramoti-Gileadi.


Kisha Yosafati aliendelea kumwambia mufalme wa Israeli: “Lakini, kwanza umwulize Yawe shauri.”


Akatuma ujumbe kwa mufalme Yosafati wa Yuda, akamwambia: “Mufalme wa Moabu ameniasi. Utashirikiana nami tupigane naye?” Mufalme Yosafati akamujibu: “Niko tayari! Mimi na wewe ni kitu kimoja; watu wangu ni kama wako, farasi wangu ni kama wako.


Ahabu mufalme wa Israeli akamwambia Yosafati mufalme wa Yuda: “Utakwenda pamoja nami kwa kushambulia muji wa Ramoti-Gileadi?” Naye akajibu: “Mimi niko kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako. Tutakuwa pamoja nawe katika vita.”


Lakini nabii Yehu mwana wa Hanani, akakwenda kukutana na mufalme, akamwambia: “Unazani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wanaomuchukia Yawe? Mambo uliyofanya yamekuletea kasirani ya Yawe.


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


maana mwenye kumusalimia anashirikiana naye katika matendo yake mabaya.


Na yule atakayeshinda na kuendelea kufuata mapenzi yangu mpaka mwisho, nitamupa mamlaka ya kutawala mataifa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ