Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Lakini katika mwaka wa tatu, Yosafati mufalme wa Yuda alifika kumutembelea Ahabu mufalme wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:2
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Asa akakufa, akazikwa katika makaburi ya kifalme, katika muji wa Daudi, naye mwana wake Yehosafati akatawala kwa pahali pake.


Kwa muda wa miaka mitatu hivi, kulikuwa amani kati ya Israeli na Aramu.


Katika mwaka wa ine wa utawala wa mufalme Ahabu wa Israeli, Yosafati mwana wa Asa alianza kutawala Yuda.


Lakini hakuharibu nafasi ya kutambikia juu ya vilima. Watu waliendelea kutambikia na kufukiza ubani kwa nafasi ile.


Alifuata mwenendo wa wafalme wa Israeli, kama vile jamaa ya Ahabu ilivyofanya, kwa sababu muke wake alikuwa binti ya Ahabu. Akatenda maovu mbele ya Yawe.


Kwa maana, kama vile Yona alivyobaki ndani ya tumbo la samaki mukubwa kwa muda wa siku tatu, muchana na usiku, ndivyo vilevile Mwana wa Mutu atakavyobaki ndani ya udongo kwa muda wa siku tatu, muchana na usiku.


Tangia wakati ule Yesu akaanza kuwaambia wanafunzi wake waziwazi kwamba ni sherti kwake kwenda Yerusalema, ateswe kule na wasimamizi wa watu, wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria, auawe, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ