Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 22:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kwa muda wa miaka mitatu hivi, kulikuwa amani kati ya Israeli na Aramu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 22:1
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, Beni-Hadadi akamwambia: “Miji yote ambayo baba yangu alimunyanganya baba yako, nitakurudishia. Unaweza kuanzisha masoko kule Damasiki kama vile baba yangu alivyofanya kule Samaria.” Ahabu akajibu: “Nitakuachilia kwa masharti hayo.” Hapo, akafanya mapatano naye na kumwacha huru.


“Umeona jinsi Ahabu alivyojinyenyekeza mbele yangu? Basi, kwa sababu amejinyenyekeza, sitaleta yale maangamizi atakapokuwa angali anaishi, lakini nyakati za utawala wa mwana wake nitaiangamiza jamaa ya Ahabu.”


Lakini katika mwaka wa tatu, Yosafati mufalme wa Yuda alifika kumutembelea Ahabu mufalme wa Israeli.


Wakati mumoja kulikuwa vita kati ya Aramu na Israeli. Basi, mufalme wa Aramu akafanya shauri na wakubwa wa waaskari wake juu ya pahali watakapopiga kambi.


Wakati mufalme Yosafati wa Yuda alipokuwa amekwisha kuwa mutu tajiri na mwenye heshima, alifanya mupango wa ndoa kati ya jamaa yake, na jamaa ya mufalme Ahabu wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ