1 Wafalme 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Basi, Ahabu akawaambia wajumbe wa Beni-Hadadi: “Mumwambie bwana wangu mufalme hivi: ‘Nitafanya yote uliyoomba kwa mara ya kwanza, lakini haya ya pili sikubali hata kidogo.’ ” Hapo, wajumbe hao wakaenda zao na kumupasha tena mufalme Beni-Hadadi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |