Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 20:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, Ahabu akawaambia wajumbe wa Beni-Hadadi: “Mumwambie bwana wangu mufalme hivi: ‘Nitafanya yote uliyoomba kwa mara ya kwanza, lakini haya ya pili sikubali hata kidogo.’ ” Hapo, wajumbe hao wakaenda zao na kumupasha tena mufalme Beni-Hadadi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 20:9
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu mufalme Asa akatwaa feza na zahabu yote iliyobaki katika hazina ya nyumba ya Yawe na katika hazina ya nyumba ya kifalme, akawapa watumishi wake, akawatuma Damasiki kwa Beni-Hadadi mwana wa Taburimoni, mujukuu wa Hesioni, mufalme wa Aramu, akasema:


Beni-Hadadi akamutumia Ahabu ujumbe huu: “Miungu iniue ikiwa kule Samaria kutabakia mavumbi ya kutosha kwa kujaza vitanga vya mikono kwa kila mumoja wa watu wangu wengi wanaonifuata!”


Wazee na watu wote wakamwambia: “Usimujali wala usikubali.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ