3 ‘Feza na zahabu yako yote ni mali yangu; wake zako wazuri na watoto wako ni wangu vilevile.’ ”
Kisha, akatuma wajumbe wake katika muji kwa mufalme Ahabu wa Israeli, wakamwambia: “Mufalme Beni-Hadadi anasema hivi:
Basi, wakajifungia magunia kwenye viuno na kamba katika shingo yao, wakamwendea mufalme wa Israeli, wakamwambia: “Mutumishi wako, Beni-Hadadi, anakusihi akisema: ‘Tafazali, uniache nipate kuishi.’ ” Ahabu akasema: “Kumbe angali anaishi? Yeye ni ndugu yangu.”
Naye mufalme wa Israeli akajibu: “Bwana wangu mufalme, ulivyosema ni sawa: mimi ni wako, na vyote ninavyokuwa navyo ni vyako.”
Adui akajisemesha: ‘Nitawafuata na kuwakamata; nitagawanya vitu mpaka hamu yangu iishe. Tutafuta upanga wetu, tutawaangamiza kwa mukono wetu.’