Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 20:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kisha, akatuma wajumbe wake katika muji kwa mufalme Ahabu wa Israeli, wakamwambia: “Mufalme Beni-Hadadi anasema hivi:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 20:2
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu mufalme Asa akatwaa feza na zahabu yote iliyobaki katika hazina ya nyumba ya Yawe na katika hazina ya nyumba ya kifalme, akawapa watumishi wake, akawatuma Damasiki kwa Beni-Hadadi mwana wa Taburimoni, mujukuu wa Hesioni, mufalme wa Aramu, akasema:


Beni-Hadadi mufalme wa Aramu alikusanya waaskari wake wote. Aliungwa mukono na wafalme wengine makumi tatu na wawili pamoja na farasi na magari yao ya vita. Aliuendea muji wa Samaria akauzunguka na kuushambulia.


‘Feza na zahabu yako yote ni mali yangu; wake zako wazuri na watoto wako ni wangu vilevile.’ ”


Halafu mufalme alipata habari kwamba Tiraka mufalme wa Etiopia anakuja kupigana naye. Akatuma wajumbe kwa Hezekia, akisema:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ