1 Wafalme 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Vilevile, kuko Simei mwana wa Gera, wa kabila la Benjamina wa muji wa Bahurimu, ambaye aliniapiza na kunilaani vikali nilipokwenda kule Mahanaimu; lakini alipokuja kunipokea kwenye muto Yordani, nilimwapia kwa jina la Yawe nikimwambia: ‘Sitakuua kwa upanga.’ အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |