41 Mufalme Solomono alipopata habari kwamba Simei alikuwa ametoka Yerusalema, akaenda Gati na kurudi,
Simei alipanda juu ya punda wake, akaenda kule kwa kuwatafuta, kwa mufalme Akisi. Basi, akafika, akawapata, akawarudisha kwake.
alimwita Simei na kumwambia: “Si wewe ndiwe uliniapia kwa jina la Yawe kwamba hautatoka Yerusalema? Nami si nilikuonya kwamba hakika utakufa kama ukisubutu kwenda inje? Nawe ulikubali, ukaniambia: ‘Ni vizuri, nitatii’.