Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 2:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Basi, Benaya akaenda katika hema la Mungu, akamwambia Yoabu: “Mufalme ameamuru utoke inje.” Yoabu akajibu: “Mimi sitatoka; nitakufia hapahapa.” Benaya akarudi kwa mufalme na kumwelezea jinsi Yoabu alivyojibu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 2:30
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Solomono aliposikia kwamba Yoabu yuko katika hema la Mungu na kwamba amesimama kwenye mazabahu, alimutuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema: “Kwenda umupige.”


Solomono akasema: “Fanya sawa alivyosema. Umwue na kumuzika. Hivyo, mimi na wazao wengine wote wa Daudi hatutabeba lazima ya vitendo vya Yoabu vya kuwaua watu wasiokuwa na kosa.


Benaya mwana wa Yehoyada, kutoka muji wa Kabuseli, alikuwa askari shujaa ambaye alifanya mambo mengi ya ajabu. Aliua mashujaa wawili kutoka Moabu, na siku moja wakati wa baridi kali, akashuka na kuua simba ndani ya shimo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ