1 Wafalme 2:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Basi, Benaya akaenda katika hema la Mungu, akamwambia Yoabu: “Mufalme ameamuru utoke inje.” Yoabu akajibu: “Mimi sitatoka; nitakufia hapahapa.” Benaya akarudi kwa mufalme na kumwelezea jinsi Yoabu alivyojibu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |