Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 2:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Batiseba akamwambia: “Sawa; nitazungumuza na mufalme kwa jina lako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 2:18
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akasema: “Tafazali, ninakusihi umwombe mufalme Solomono aniruhusu nimukamate Abisagi, yule Musunami, akuwe muke wangu, kwa maana ninajua hatakukatalia wewe.”


Basi, Batiseba akamwendea mufalme Solomono kwa kumwelezea ombi la Adonia. Mufalme akasimama kwenda kumupokea mama yake, akainama mbele yake. Halafu, akaikaa katika kiti chake cha kifalme, akaagiza mama yake aletewe kiti, naye akaikaa kwa upande wa kuume wa mufalme.


Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ