Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Sasa, nina ombi moja tu ambalo ninakusihi usinikatalie.” Batiseba akamwambia: “Sema tu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 2:16
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Adonia akamwambia: “Unajua kwamba ni mimi ndiye ningalikuwa mufalme, na hata Israeli yote ilikuwa inanitazamia nikuwe mufalme. Lakini, mambo yakageuka na ndugu yangu akanipindua, kwa sababu hayo ndiyo yaliyokuwa mapenzi ya Yawe.


Naye akasema: “Tafazali, ninakusihi umwombe mufalme Solomono aniruhusu nimukamate Abisagi, yule Musunami, akuwe muke wangu, kwa maana ninajua hatakukatalia wewe.”


Batiseba akasema: “Nina ombi dogo tafazali ulikubali, na ninakuomba usinikatalie.” Mufalme akamwambia: “Sema ombi lako mama yangu, kwa sababu sitakukatalia.”


Kwa ajili ya Daudi, mutumishi wako, usimukatae huyo mufalme uliyemuchagua.


Ee Mungu, ninakuomba mambo haya mawili, wala usikatae kunitimizia nayo mbele ya kufa kwangu:


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ