Adonia akamwambia: “Unajua kwamba ni mimi ndiye ningalikuwa mufalme, na hata Israeli yote ilikuwa inanitazamia nikuwe mufalme. Lakini, mambo yakageuka na ndugu yangu akanipindua, kwa sababu hayo ndiyo yaliyokuwa mapenzi ya Yawe.
Batiseba akasema: “Nina ombi dogo tafazali ulikubali, na ninakuomba usinikatalie.” Mufalme akamwambia: “Sema ombi lako mama yangu, kwa sababu sitakukatalia.”