Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 17:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 “Ondoka uende katika muji wa Zerepata, karibu na Sidona, ukae kule. Nimemwamuru mujane mumoja akupatie chakula kule.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 17:9
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule mwanamuke alipokuwa anaondoka, Elia akamwita tena na kumwambia: “Uniletee na kipande cha mukate vilevile.”


Kule, utapata maji ya kunywa katika kijito kile. Tena nimewaamuru vibombobombo wakuletee chakula.”


Hapo, neno la Yawe lilimufikia Elia kusema hivi:


Elia alipoangalia, akaona mukate uliokaangwa juu ya makaa, na chupa ya maji karibu na kichwa chake. Basi, akakula, akakunywa na akalala tena.


Waisraeli wanaokuwa katika uhamisho, lile jeshi la Waisraeli, watarizi inchi ya Foinikia mpaka Zerepata. Watu wa Yerusalema wanaokuwa katika uhamisho kule Sefaradi watarizi miji ya Negebu.


Lakini Elia hakutumwa kwa mutu yeyote kati yao, isipokuwa tu kwa yule mujane wa Zarepata, katika inchi ya Sidona.


Lakini sisi tunaokuwa na hazina hii ya kiroho, tuko vyombo vya udongo, kusudi watu waone waziwazi uwezo huu wa ajabu sana unaotoka kwa Mungu lakini si kwetu sisi wenyewe.


Yawe akamwambia Gideoni: “Watu unaokuwa nao ni wengi sana kwangu mimi kwa kuwatia Wamidiani katika mikono yao. Waisraeli wasipate kujisifu mbele yangu na kusema kwamba wamejiokoa kwa nguvu zao wenyewe.


Yawe akamwambia Gideoni: “Watu hao wangali wengi sana. Sasa uwapeleke kwenye muto, nami nitawajaribu kule. Mutu yeyote nitakayekuambia: ‘Huyu atakwenda nawe, huyo aende nawe. Lakini mutu yeyote nitakayekuambia hatakwenda nawe, huyo asiende nawe.’ ”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ