2 Kisha, neno la Yawe lilimufikia Elia kusema hivi:
Lakini ujumbe huu wa Mungu ulitolewa kwa Semaya, mutu wa Mungu:
Basi Elia wa kijiji cha Tisibe katika jimbo la Gileadi akamwambia mufalme Ahabu: “Kama vile Yawe, Mungu wa Israeli, ambaye ninamutumikia, anavyoishi, hakutakuwa umande wala mvua mpaka nitakapotoa amri.”
“Ondoka hapa uelekee upande wa mashariki, ujifiche kwenye kijito cha Keriti kinachokuwa upande wa mashariki wa muto Yordani.
Hapo, neno la Yawe lilimufikia Elia kusema hivi:
Lakini usiku uleule, neno la Yawe lilimufikia Natani kusema hivi:
Yawe akanitolea mimi Yeremia ujumbe, akisema:
Yawe akanitolea ujumbe, akisema:
Yawe akamutolea Yeremia ujumbe, akisema: Kwenda kusimama