Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Sasa, nitakufagia kabisa wewe na jamaa yako. Nitaitendea jamaa yako kama vile nilivyoitendea jamaa ya Yeroboamu mwana wa Nebati.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 16:3
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, sasa nitailetea jamaa hii ya Yeroboamu hasara, nitawaua wanaume wote wa jamaa yake katika Israeli, akuwe mutumwa au huru. Watu wa jamaa yake wote nitawateketeza kama vile mutu anavyoteketeza mavi, mpaka yatoweke.


Mutu yeyote wa jamaa ya Yeroboamu atakayekufia katika muji, imbwa watamukula; na yeyote atakayekufia katika shamba, ndege watamukula.’ Yawe amesema hivyo.”


Jamaa yake itakuwa kama jamaa ya Yeroboamu mwana wa Nebati na ya Basha mwana wa Ahiya.


Kisha watakwenda kuziona maiti za wale walioniasi. Wadudu watakaowakula hawatakufa, na moto utakaowachoma hautazimika hata kidogo. Watakuwa chukizo kwa watu wote.


Yeye atazikwa sawa nyama: atakokotwa na kutupiliwa mbali, inje ya milango ya Yerusalema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ