1 Wafalme 15:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Katika mwaka wa makumi mbili wa utawala wa Yeroboamu mufalme wa Israeli, Asa alianza kutawala kule Yuda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Asa aliposikia maneno haya, ni kusema unabii wa Azaria mwana wa Odedi, yakamutia moyo. Akaondoa sanamu zote za kuchukiza katika inchi yote ya Yuda na ya Benjamina, na kutoka katika miji yote aliyoteka katika inchi ya milima ya Efuraimu. Na kisha akatengeneza upya mazabahu ya Yawe iliyokuwa katika baraza la nyumba ya Yawe.