1 Wafalme 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Kwa mwisho, Abiyamu akakufa na kuzikwa katika muji wa Daudi na mwana wake Asa akatawala pahali pake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Mwana wa Solomono: Rehoboamu, mwana wa Rehoboamu: Abiya, mwana wa Abiya: Asa, mwana wa Asa: Yosafati, mwana wa Yosafati: Yoramu, mwana wa Yoramu: Ahazia, mwana wa Ahazia: Yoasi, mwana wa Yoasi: Amazia, mwana wa Amazia: Azaria, mwana wa Azaria: Yotamu, mwana wa Yotamu: Ahazi, mwana wa Ahazi: Hezekia, mwana wa Hezekia: Manase, mwana wa Manase: Amoni, mwana wa Amoni: Yosia.