Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 15:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa mwisho, Abiyamu akakufa na kuzikwa katika muji wa Daudi na mwana wake Asa akatawala pahali pake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 15:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, Abiya mwana wa mufalme Yeroboamu, akagonjwa.


Nyuma, Rehoboamu alikufa na kuzikwa kwenye makaburi ya wazee wake, katika muji wa Daudi. Mama yake aliitwa Nama kutoka katika kabila la Waamoni, na mwana wake Abiyamu akatawala kwa pahali pake.


Katika mwaka wa makumi mbili wa utawala wa Yeroboamu mufalme wa Israeli, Asa alianza kutawala kule Yuda.


Mwana wa Solomono: Rehoboamu, mwana wa Rehoboamu: Abiya, mwana wa Abiya: Asa, mwana wa Asa: Yosafati, mwana wa Yosafati: Yoramu, mwana wa Yoramu: Ahazia, mwana wa Ahazia: Yoasi, mwana wa Yoasi: Amazia, mwana wa Amazia: Azaria, mwana wa Azaria: Yotamu, mwana wa Yotamu: Ahazi, mwana wa Ahazi: Hezekia, mwana wa Hezekia: Manase, mwana wa Manase: Amoni, mwana wa Amoni: Yosia.


Hao wote walikuwa wana wa Daudi, zaidi ya wale kuna wengine aliozaliwa na wahabara yake. Daudi alikuwa na binti vilevile, aliyeitwa Tamari.


Asa akatenda mambo yanayokuwa mazuri na sawa mbele ya Yawe, Mungu wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ