7 Matendo mengine ya Abiyamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda. Abiyamu na Yeroboamu waliishi katika hali ya vita.
Mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda.