6 Kulikuwa vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote alipokuwa mutawala.
Mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda.
Siku zote kulikuwa vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Matendo mengine ya Abiyamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda. Abiyamu na Yeroboamu waliishi katika hali ya vita.