Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 15:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Alitawala kwa muda wa miaka mitatu akiwa Yerusalema. Mama yake, ambaye alikuwa binti ya Abisaloma, aliitwa Maka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 15:2
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alitawala kwa muda wa miaka makumi ine na mumoja. Tate yake aliitwa Maka, binti ya Abisaloma.


Akamwondoa tate yake Maka cheo chake cha mama malkia, kwa sababu alitengeneza sanamu ya Ashera na hiyo sanamu akaivunjavunja na kuiteketeza kwenye bonde la Kidroni.


Yosafati alikuwa na umri wa miaka makumi tatu na mitano alipoanza kutawala. Alitawala akiwa Yerusalema kwa muda wa miaka makumi mbili na mitano. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Silihi.


Abiya akaanza kutawala inchi ya Yuda katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mufalme Yeroboamu.


Alitawala kwa muda wa miaka mitatu akiwa Yerusalema. Mama yake aliitwa Mikaya binti ya Urieli wa Gibea. Kukatokea vita kati ya Abiya na Yeroboamu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ