Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 15:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Basha, mufalme wa Israeli, aliishambulia inchi ya Yuda na kuanza kuujenga muji wa Rama kusudi apate kuzuia mutu yeyote asitoke wala asiingie kwa Asa, mufalme wa Yuda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 15:17
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kama watu hawa wataendelea kwenda kutoa sadaka katika nyumba ya Yawe kule Yerusalema. Mioyo yao itamugeukia bwana wao Rehoboamu mufalme wa Yuda, nao wataniua mimi.”


Yawe anasema hivi: Sauti imesikilika katika muji wa Rama, maombolezo na kilio cha uchungu. Rakeli anawalilia watoto wake, wala hataki kufarijiwa kwa ajili yao, maana wote hawako tena.


Basha mwana wa Ahiya, wa kabila la Isakari, akamufanyia Nadabu shauri baya. Basi, wakati Nadabu na waaskari wake walipokuwa wakiushambulia muji wa Gibetoni wa Wafilistini, Basha akamwua,


Kisha, Samweli akaenda Rama; na mufalme Saulo akarudi kwenye nyumba yake kule Gibea.


Halafu Yeroboamu akaanza kufikirifikiri: “Sasa ufalme utarudi kwa jamaa ya mufalme Daudi


Kisima ambamo Isimaeli alitupa maiti za wale watu aliowaua ni kile kikubwa ambacho mufalme Asa alikuwa amekichimba kwa kujikinga na Basha, mufalme wa Waisraeli. Isimaeli mwana wa Netania alikijaza kisima hicho maiti za wale watu aliowaua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ