1 Wafalme 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Basi, mufalme Yeroboamu akamwambia nabii: “Tafazali, umusihi Yawe, Mungu wako, uniombee mukono wangu upate kupona.” Naye nabii akamwomba Yawe, na mukono wa mufalme ukapona, ukarudia kwa hali yake ya zamani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |