1 Wafalme 13:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Mufalme Yeroboamu aliposikia maneno hayo ya mutu wa Mungu juu ya mazabahu kule Beteli, alinyoosha mukono akasema: “Mumukamate mutu yule!” Na mara moja ule mukono wake aliounyoosha, ukakauka, hakuweza tena kuukunja. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |