1 Wafalme 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Wakati ule, kulikuwa nabii mumoja muzee kule Beteli. Wana wake wakamwendea, wakamwelezea mambo yote yule mutu wa Mungu aliyotenda siku hiyo, kule Beteli. Wakamwambia vilevile yale maneno yule mutu aliyomwambia mufalme Yeroboamu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |