Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 13:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wakati ule, kulikuwa nabii mumoja muzee kule Beteli. Wana wake wakamwendea, wakamwelezea mambo yote yule mutu wa Mungu aliyotenda siku hiyo, kule Beteli. Wakamwambia vilevile yale maneno yule mutu aliyomwambia mufalme Yeroboamu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 13:11
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, mutu yule akaenda zake, wala hakurudi kwa njia ile aliyoifuata kwa kuja Beteli.


Baba yao akawauliza: “Amefuata njia gani?” Nao wakamwonyesha njia yule mutu wa Mungu aliyoifuata kutoka Yuda.


Watu waliopitia pale na kuiona maiti katika barabara, na simba akisimama karibu nayo, wakaenda mpaka katika muji yule nabii alimokuwa anakaa, wakawaambia watu.


Naye akaagiza: “Umwache pale, mutu yeyote asiondoe mifupa yake.” Kwa hiyo waliiacha mifupa yake, pamoja na mifupa ya nabii aliyetoka Samaria.


huo ndio mwisho wa manabii wa Waisraeli waliotabiri mema juu ya Yerusalema na kuona maono ya amani ijapokuwa hakuna amani. Ni Bwana wetu Yawe anayesema hivyo.


Wewe mwanadamu, uwakaripie manabii wa Waisraeli wanaotangaza mambo ambayo wameyafikiria wao wenyewe. Uwaambie: Musikilize neno la Yawe!


akainua macho, akawaona Waisraeli wamepiga kambi kila kabila pahali pake. Kisha Roho ya Mungu ikamufikia,


Siku ile ya hukumu itakapotimia, wengi wataniambia: ‘Bwana, Bwana, sisi hatukutangaza ujumbe wa Mungu? Nasi hatukufukuza pepo kwa jina lako na kufanya maajabu mengi kwa jina lako?’


Kwa maana mutu anayeshindwa na kuongoza jamaa yake mwenyewe, namna gani ataweza kuchunga kanisa la Mungu?


lakini alikaripiwa kwa ajili ya uovu wake. Basi punda, ambaye hasemi, alisema kama mutu na kuzuiza kitendo cha upumbafu wa yule nabii.


Watu waliomufahamu Saulo zamani, walipomwona anatabiri, wakaulizana: “Kitu gani kimemupata mwana wa Kisi? Hata Saulo ni mumoja wa manabii?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ