1 Wafalme 12:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
2 Naye Yeroboamu mwana wa Nebati alipopata habari juu ya tendo hilo, maana alikuwa angali Misri ambako alikwenda alipomukimbia Solomono, alirudi kutoka Misri.
Kwa sababu hiyo, Solomono alijaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akakimbilia Misri kwa Sisaki mufalme wa Misri, akakaa kule mpaka Solomono alipokufa.