Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, Yawe alimukasirikia Solomono, kwa sababu alikuwa amemwacha Yawe, Mungu wa Israeli, ingawa yeye alikuwa amemutokea mara mbili

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 11:9
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muda wa kufunga kilio ulipokwisha, Daudi aliagiza wamulete Batiseba na kumupeleka katika nyumba yake. Batiseba akakuwa muke wa Daudi, naye akamuzalia Daudi mutoto mwanaume. Lakini jambo hilo Daudi alilofanya lilimuchukiza Yawe.


Halafu, hasira ya Yawe ikawaka juu ya Uza. Mungu akamwua palepale. Uza akakufa palepale pembeni ya Sanduku la Mungu.


Vilevile, aliwajengea wake zake wote wa kigeni nafasi ya kufukizia ubani na kuitambikia miungu yao.


Kule Gibeoni, Yawe alimutokea Solomono katika ndoto usiku, akamwambia: “Omba kitu chochote unachotaka nami nitakupa.”


Yawe alimutokea tena kama alivyomutokea kule Gibeoni.


Mungu hakupendezwa na jambo lile kwa hiyo akaazibu Waisraeli.


Halafu hasira ya Mungu ikawaka juu ya Musa, akamwambia: “Si kuna ndugu yako Haruni ambaye ni Mulawi? Ninajua yeye anajua kusema vizuri. Tena anakuja kukutana nawe, na mara tu atakapokuona atafurahi ndani ya moyo.


Linda moyo wako kwa uangalifu wote, maana mule munatokea chemichemi za uzima.


Uasherati, divai mupya na ya zamani vinaondoa maarifa.


Hapo Yawe akawaka hasira juu yao, akaondoka, akaenda zake.


“Lakini Yawe akanikasirikia kwa sababu yenu, akakataa kunisikiliza. Pahali pake akaniambia: ‘Inatosha! Usiseme tena jambo hili.


Mukifanya hivyo wao watawapotosha watoto wenu wasimufuate Yawe, na kuwafanya waabudu miungu mingine, nayo hasira ya Yawe itawaka juu yenu, halafu atawaangamiza mara moja.


Yawe alikuwa amemukasirikia sana Haruni, kiasi cha kumwangamiza. Hivyo, nikamwombea Haruni wakati huohuo.


Hata huko kwenye mulima Horebu, mulimukasirikisha Yawe, naye alikasirika sana, kiasi cha kutaka kuwaangamiza.


Dema amependelea mambo ya dunia hii akaniacha na kwenda Tesalonika. Kreske akaenda Galatia, na Tito akaenda Dalmatia.


“Ninajuta kwamba nimemufanya Saulo kuwa mufalme. Yeye ameacha kunifuata mimi na hajatimiza amri zangu.” Samweli alikasirika, akamulilia Yawe usiku kucha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ