Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Malkia wa Seba alishangaa sana alipoiona hekima yote ya Solomono, na nyumba aliyokuwa ameijenga,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 10:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye Solomono akayajibu maulizo yote; hakuna hata ulizo moja lililomushinda.


tena alipoona chakula kilicholetwa kwa meza yake, jinsi wakubwa wake walivyoikaa kwenye meza, jinsi watumishi walivyotumika na walivyovaa, vilevile wenye kuleta vinywaji na sadaka za kuteketezwa ambazo alizitoa katika nyumba ya Yawe, alipumbazika na kushangaa sana.


Watu wote wa Israeli waliposikia juu ya hukumu ya mufalme, walimwogopa. Wakatambua kwamba alikuwa na hekima ya Mungu iliyomuwezesha kutoa hukumu za haki.


Basi, zaidi ya kuwa na hekima yake, Muhubiri aliendelea kuwafundisha watu ujuzi. Alipima, akachunguza na kutia kwa usawa mezali kwa ufundi mwingi.


Vilevile kwa Siku ya hukumu malkia toka kusini atasimama na watu wa kizazi hiki na kuwashitaki, kwa sababu yeye alitoka mbali sana kuja kusikia maneno ya hekima ya mufalme Solomono. Hapa kuna yule anayekuwa mukubwa kumupita Solomono!


Lakini ninawaambia kwamba hata mufalme Solomono katika utukufu wote aliokuwa nao hakuvaa nguo inayoweza kulinganishwa na uzuri wa moja la maua yale.


Mufikiri juu ya namna maua yanavyoota. Hayasumbuki wala kujisukia nguo. Lakini ninawaambia kwamba hata mufalme Solomono katika utukufu wote aliokuwa nao, hakuvaa nguo inayoweza kulinganishwa na uzuri wa moja la maua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ