Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Akafika Yerusalema akisindikizwa na watu wengi sana pamoja na ngamia waliobeba marasi, zawadi nyingi sana, zahabu na mawe ya bei kali.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 10:2
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe alipomaliza kuzungumuza na Abrahamu, akajiendea naye Abrahamu akarudi kwake.


Kisha malkia akamupa mufalme zaidi ya kilo elfu ine za zahabu, marasi nyingi sana na mawe ya bei kali. Hakuna aliyeweza hata kidogo kumuletea mufalme Solomono marasi mengi sana sawa yale malkia wa Seba aliyomuletea.


Naye Solomono akayajibu maulizo yote; hakuna hata ulizo moja lililomushinda.


Basi, Hezekia akawakaribisha na kuwaonyesha mali yake: nyumba yake ya hazina, feza, zahabu, viungo vya kukolezea chakula, mafuta ya bei kali na nyumba ya vifaa vyake vyote vya kiaskari na vitu vyote vilivyokuwa katika akiba zake. Hakukukuwa kitu chochote katika nyumba yake, au inchi yake ambacho hakuwaonyesha.


Mufalme wa Aramu akamwambia: “Twaa barua hii umupelekee mufalme wa Israeli.” Hivyo Namani akaondoka, akipeleka vikoroti elfu makumi tatu vya feza, vikoroti elfu sita vya zahabu na nguo kumi za sikukuu.


Namani akaenda na farasi wake na gari lake mpaka kwenye mulango wa Elisha.


Mutu akijaribu kukuambia neno utakasirika? Lakini nani anayeweza kujizuia kusema?


Mujue kwamba Yawe amejichagulia mutu wake wa haki. Yawe anasikia kila mara ninapomwomba.


Wafalme wa Tarsisi na visiwa wamulipe kodi, wafalme wa Sheba na Seba wamuletee zawadi.


mafuta kwa ajili ya taa, viungo kwa ajili ya mafuta ya kupakaa na kwa ajili ya ubani wenye harufu nzuri,


Ujumbe wa Mungu juu ya nyama wa pande za jangwa ya kusini: Wajumbe wanapita katika inchi ya taabu na shida, yenye simba, nyoka wa sumu na nyoka wakubwa wanaoruka. Wamewabebesha punda na ngamia wao mali zao, kuwapelekea watu wasioweza kuwafalia kitu.


Wachuuzi wa Seba na wa Rama walifanya biashara nawe; walikuletea viungo vya chakula, mawe ya bei kali na zahabu kwa kujipatia vitu vyako safi.


Walipokuwa wakiongea na kuulizana, Yesu mwenyewe akafika karibu nao, akaendelea kutembea pamoja nao,


Basi kesho yake Agripa pamoja na Berenike walifika katika shangwe kubwa na kuingia katika chumba cha mukutano, pamoja na wakubwa wa jeshi, na wakubwa wa muji. Festo akaamuru wamulete Paulo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ