1 Wafalme 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Lakini baba yake Daudi hakukuwa amemukaripia mwana wake hata mara moja wala kumwuliza kwa nini alikuwa amefanya hivyo. Adonia alikuwa mwenye sura ya kupendeza sana na alikuwa amemufuata Abusaloma kwa kuzaliwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |