Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 1:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Basi, Adonia pamoja na waalikwa waliokuwa naye walikuwa wakimaliza sherehe. Naye Yoabu aliposikia sauti ya baragumu, alisema: “Makelele hayo katika muji ni ya nini?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 1:41
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu watu wote walimufuata, wakipiga mazomari, wakafurahi kwa shangwe kubwa, hata inchi ikatikisika kwa sauti zao.


Alipokuwa akisema, Yonatani mwana wa kuhani Abiatari akaingia. Adonia akasema: “Karibu, maana wewe ni mutu hodari na unaleta habari nzuri.”


mwovu atajiona ameshinda kwa muda tu, furaha ya asiyemwogopa Mungu ni ya muda mufupi tu!


Yoshua aliposikia kelele za watu, akamwambia Musa: Kuna kelele za vita ndani ya kambi.


Huzuni inaweza kufichwa katika kicheko; nyuma ya furaha kunakuja huzuni.


Lakini wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria wakachukizwa kwa kuona miujiza aliyoifanya na watoto waliokuwa wakilalamika katika hekalu, wakisema: “Usifiwe wewe, mwana wa Daudi!”


Walipotafuta kumwua Paulo, habari ikamufikia mwongozi wa kundi la waaskari kwamba muji wote wa Yerusalema umejaa fujo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ