1 Wafalme 1:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
41 Basi, Adonia pamoja na waalikwa waliokuwa naye walikuwa wakimaliza sherehe. Naye Yoabu aliposikia sauti ya baragumu, alisema: “Makelele hayo katika muji ni ya nini?”
Lakini wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria wakachukizwa kwa kuona miujiza aliyoifanya na watoto waliokuwa wakilalamika katika hekalu, wakisema: “Usifiwe wewe, mwana wa Daudi!”