Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Wafalme 1:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Wakati mufalme Daudi alipokuwa muzee sana, watumishi wake walimufunika kwa mablanketi, lakini, hata hivyo, hakuweza kupata joto.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Wafalme 1:1
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abrahamu na Sara walikuwa wazee sana, naye Sara hangeweza tena kuzaa.


Sasa Abrahamu alikuwa muzee wa miaka mingi, naye Yawe alikuwa amemubariki katika kila hali.


Kisha Daudi akamujengea Yawe mazabahu pahali pale na kumutolea sadaka za kuteketezwa na za amani. Basi, Yawe akayakubali maombi kwa ajili ya inchi, na ule ugonjwa mukali uliowapata Waisraeli ikakoma.


Daudi alikuwa na umri wa miaka makumi tatu alipoanza kutawala, na alitawala kwa muda wa miaka makumi ine.


Basi, Batiseba alimwendea mufalme ndani ya chumba chake. Wakati ule, mufalme alikuwa muzee sana, naye Abisagi Musunami alikuwa akimuchunga.


Kwa hivyo, wakamwambia: “Bwana wetu mufalme, afazali tukutafutie binti akutumikie na kukutunza; alale pamoja nawe kusudi akupatie joto.”


Daudi alipokuwa muzee wa miaka mingi, akamuweka Solomono mwana wake kuwa mufalme wa Israeli.


Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!


Vilevile watu wawili wakilala pamoja watapata joto. Lakini mutu akiwa peke yake atajipatia joto namna gani?


Lakini hawakukuwa na mutoto, kwa maana Elizabeti alikuwa tasa, tena wote wawili walikuwa wazee sana.


Wakati huu, Yoshua alikuwa muzee wa miaka mingi. Basi, Yawe akamwambia: “Wewe sasa umekuwa muzee wa miaka mingi, na kumebaki bado sehemu kubwa za inchi ambazo hazijatwaliwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ