1 Timoteo 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Vilevile ni sherti kujua kwamba Sheria haikuwekwa kwa ajili ya wenye haki, lakini kwa ajili ya watenda mabaya, waasi, watu wasiomuheshimu Mungu, wenye zambi, nao wenye kuchafua vitu vitakatifu na kukufuru, na kwa ajili ya wale wanaowaua wababa zao au wamama zao, na wauaji wowote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |