1 Timoteo 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Uwaambie wasishikamane na hadisi za uongo, pamoja na mambo yasiyokuwa na mwisho ya wababu. Hayo yote yanaleta mabishano, wala hayafai kitu kwa kutimiza mupango wa Mungu wa wokovu, unaojulikana kwa njia ya imani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |