Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 9:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Yule mupishi akaenda akaleta paja na sehemu ya nyama iliyokuwa upande wa juu wa paja hilo na kuviweka mbele ya Saulo. Halafu Samweli akamwambia Saulo: “Angalia kile ulichowekewa; sasa kimewekwa mbele yako. Sasa ukule kwa sababu kimewekwa kwa ajili yako kusudi upate kula pamoja na wageni.” Hivyo, Saulo akakula pamoja na Samweli siku hiyo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 9:24
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha utatwaa mafuta ya yule kondoo dume: mukia wake, mafuta yanayofunika matumbotumbo na sehemu bora ya maini, figo zake mbili na mafuta yake, pamoja na paja la kuume. (Kondoo yule ni kondoo wa utakaso.)


Kuhani anapotakaswa, kilali na paja la kondoo dume wa utakaso vitaletwa na kutakaswa mbele yangu kwa kufanya kitambulisho cha kunitolea, navyo vitakuwa vya Haruni na wana wake.


Tia humo vipande vya nyama, vipande vizuri vya paja na mabega. Ukijaze vilevile mifupa mizuri.


Nyama yao unaweza kuikula, kama vile kilali na muguu wa nyuma wa kuume vinavyotolewa kama vile sadaka ya kutikiswa.


Samweli akamwambia mupishi: “Ulete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke pembeni.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ