Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 9:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Saulo akajibu: “Mimi ni wa kabila la Benjamina, kabila dogo kuliko makabila yote ya Waisraeli. Na katika kabila lote la Benjamina jamaa yangu ndiyo ndogo kabisa. Lakini, kwa nini unanizungumuzia namna hiyo?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 9:21
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Mumusifu Mungu katika mukutano. Mumusifu Yawe, enyi wazao wa Israeli!”


Kwanza ni Benjamina, mudogo wa wote; kisha waongozi wa Yuda na kundi lao, halafu wakubwa wa Zebuluni na Nafutali.


Waefuraimu waliposema, watu wote walitetemeka; Waefuraimu walikuwa na uwezo mukubwa katika inchi ya Israeli, lakini walianza kumwabudu mungu Bali, wakajiletea kifo.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Mimi ni mudogo kuliko watu wote wa Mungu, lakini Mungu amenijalia neema ya kutangaza kwa watu wa mataifa mengine Habari Njema ya baraka za Kristo zisizoweza kuhesabiwa.


Lakini watu wengine wasiofaa kitu, walisema: “Mutu huyu anaweza kutuokoa?” Walimuzarau Saulo na hawakumupa zawadi yoyote. Lakini yeye hakukasirika.


Baba wa Saulo aliitwa Kisi na baba wa Abeneri aliitwa Neri mwana wa Abieli.


Samweli akamwambia: “Ingawa unajiona kwamba wewe ni mudogo, lakini si wewe kiongozi wa makabila ya Israeli? Yawe alikupakaa mafuta kwa kukusimika kuwa mufalme juu ya Israeli.


Daudi akamwambia Saulo: “Mimi ni nani hata mufalme akuwe baba mukwe wangu? Ukoo wangu wenyewe na hata jamaa ya baba yangu si kitu katika Israeli.”


Basi, watumishi hao wa Saulo walimwambia Daudi maneno hayo kwa siri, naye akawaambia: “Munazani mufalme kuwa baba mukwe wangu ni jambo dogo? Mimi ni mutu masikini na wa hali ya chini.”


Kisha Samweli akamupeleka Saulo na mutumishi wake ndani ya baraza, akawapa nafasi ya heshima, ambako wageni walioalikwa walikuwa wameikaa. Kulikuwa wageni yapata makumi tatu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ