Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 9:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Jana yake, mbele ya Saulo kufika katika muji pale, Yawe alikuwa amemwambia Samweli hivi:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 9:15
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana wewe, ee Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli, umenifunulia mimi mutumishi wako, ukisema: ‘Nitakujengea nyumba’; ndiyo maana nina uhodari wa kutoa ombi hili mbele yako.


wanaposinzia katika vitanda vyao. Halafu anawafungua watu masikio yao; anawatia hofu kwa maonyo yake,


Yawe ni rafiki ya wale wanaomwabudu; yeye anawajulisha agano lake.


Hakika, Bwana wetu Yawe hafanyi kitu bila kuwafunulia watumishi wake manabii nia yake.


Na kisha wakaomba wapewe mufalme. Kwa hiyo Mungu akawawekea Saulo, mwana wa Kisi, wa kabila la Benjamina kwa kuwatawala kwa muda wa miaka makumi ine.


Kwa maana usiku malaika wa Mungu, ninayekuwa mutu wake na ninayemwabudu, alinitokea


Samweli alimwambia Saulo: “Yawe alinituma kukupakaa mafuta kwa kukusimika kuwa mufalme wa watu wake Waisraeli. Sasa sikiliza maneno ya Yawe.


Yonatani akamujibu: “Jambo hilo lipite mbali nawe. Hautakufa. Baba yangu hafanyi jambo lolote, likuwe kubwa au dogo, bila kunielezea. Hata jambo hili hawezi kunificha. Sivyo inavyokuwa hata kidogo.”


Yawe alizidi kujionyesha kule Shilo, ambako alimutokea Samweli na kuongea naye. Naye Samweli aliposema kitu, Waisraeli wote walimusikiliza.


Hivyo Saulo na mutumishi wake walikwenda katika muji. Walipokuwa wanaingia katika muji, walimwona Samweli akitoka katika muji, na anaelekea kwenda kwenye nafasi ya kuabudia.


Samweli alipomwona tu Saulo, Yawe alimwambia: “Huyu ndiye mutu yule niliyekuambia. Yeye ndiye atakayewatawala watu wangu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ