Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, viongozi wote wa Waisraeli walikusanyika pamoja, na kumwendea Samweli katika muji wa Rama,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 8:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abeneri alifanya mashauri na wazee wa Waisraeli, akawaambia: “Kwa muda fulani uliopita mumekuwa mukitaka Daudi akuwe mufalme wenu.


Basi, wazee wote wa Waisraeli wakamwendea mufalme Daudi kule Hebroni. Naye akafanya agano nao mbele ya Yawe, halafu wakamupakaa Daudi mafuta akuwe mufalme wa Israeli.


Yawe akamwambia Musa: Mukuje kwangu, wewe Haruni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee makumi saba wa Israeli, muniabudu kwa mbali.


Kwenda uwakusanye wazee wa Israeli na kuwaambia kwamba: Yawe, Mungu wa babu wao, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo, amekutokea na kusema: ‘Nimewachunguza ninyi na kuyaona mambo munayotendewa katika inchi ya Misri!


Kesho yake asubui, Elekana na jamaa yake waliamuka asubui mapema, na kisha kumwabudu Yawe, walirudi kwao Rama. Elekana akalala na muke wake Hana na Yawe akamukumbuka.


Wazee wa Yabesi wakamwambia: “Utupatie muda wa siku saba kusudi tuwatume wajumbe katika inchi yote ya Waisraeli. Kama hakuna mutu yeyote wa kutuokoa, tutajitoa sisi wenyewe kwako.”


Kisha, alikuwa akirudi Rama, maana kule ndiko kulikuwa kwake. Aliwaamulia Waisraeli haki zao kule, na kumujengea Yawe mazabahu kule.


Samweli akawaambia wale watu waliokuwa wanaomba wapewe mufalme maneno yote ya Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ