Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 8:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Atatwaa sehemu ya kumi ya ngano zenu na ya zabibu zenu na kuwapa wakubwa wake na watumishi wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 8:15
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakati ule, kule Misri, wale Wamidiani wakamwuzisha Yosefu kwa mutu anayeitwa Potifari, mumoja wa wakubwa wa mufalme wa Misri, ambaye alikuwa mukubwa wa waaskari walinzi.


Tena wamoja kati ya watoto wako wanaume watapelekwa, nao watakuwa matowashi watakaotumika katika nyumba ya mufalme wa Babeli.


Muda ulipotimia ambapo wale vijana wangepelekwa kwa mufalme kama alivyokuwa ameagiza, yule mukubwa akawapeleka vijana wote mbele ya Nebukadneza.


Mufalme Nebukadneza akamwamuru Aspenazi, mukubwa wa watumishi wake, amuchagulie kati ya vijana wa Waisraeli wa jamaa ya kifalme na ya watu wenye heshima.


Atayatwaa mashamba yenu mazuri, mashamba ya mizeituni, na mashamba ya mizabibu na kuwapa watumishi wake.


Atatwaa watumishi wenu na wajakazi wenu na ngombe wenu wazuri na punda wenu wazuri kabisa na kuwafanya wamufanyie kazi yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ