1 Samweli 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Hivyo, Waisraeli wote wakakusanyika kule Misipa. Walichota maji na kuyamimina mbele ya Yawe, wakafunga kula chakula siku ile yote na kusema: “Tumetenda zambi mbele ya Yawe.” Samweli akakuwa mwamuzi wa Waisraeli kule Misipa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |