Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha, watu wa Kiriati-Yearimu wakaenda na kulikamata Sanduku la Yawe, wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu, aliyeishi kwenye milima. Wakamutakasa mwana wake aliyeitwa Eleazari kusudi alitunze Sanduku hilo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 7:1
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha tuende tukamate Sanduku la Agano la Mungu wetu, maana hatukulijali wakati wa utawala wa mufalme Saulo.”


Tulisikia wakisema: “Sanduku la Agano ni kule Efurata, tulilikuta katika mashamba ya Yearimu.”


Muondoke! Muondoke! Mutoke pale! Musiguse kitu chochote kichafu! Muondoke kule Babeli! Mujitakase, enyi munaobeba vyombo vya Yawe.


Upande wa magaribi wa mulima huo unaokuwa upande wa kusini wa Beti-Horoni, mupaka uligeuka ukaelekea kusini hata Kiriati-Bali, muji unaoitwa vilevile Kiriati-Yearimu, muji ambao ni mali ya kabila la Yuda. Huu ndio uliokuwa mupaka wake upande wa magaribi.


Basi, Waisraeli wakafunga safari, nyuma ya siku ya tatu wakafika katika miji yao. Miji hiyo ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beroti na Kiriati-Yearimu.


Walituma wajumbe kwenda kwa wakaaji wa muji wa Kiriati-Yearimu, waseme: “Wafilistini wamelirudisha Sanduku la Yawe, mukuje mulikamate.”


Tangu Sanduku la Yawe lilipopelekwa katika muji wa Kiriati-Yearimu, kulipita muda murefu, miaka makumi mbili hivi. Wakati huo Waisraeli wote walimulilia Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ