1 Samweli 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha, watu wa Kiriati-Yearimu wakaenda na kulikamata Sanduku la Yawe, wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu, aliyeishi kwenye milima. Wakamutakasa mwana wake aliyeitwa Eleazari kusudi alitunze Sanduku hilo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |