1 Samweli 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mutwae Sanduku la Yawe na kuliweka katika gari hilo. Muweke zile sanamu za zahabu ambazo munamupelekea kama sadaka ya malipo ya makosa yenu pembeni ya Sanduku. Kisha muliache liende litakakokwenda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |