1 Samweli 6:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Basi, mutayarishe gari jipya na ngombe wawili wenye kunyonyesha ambao bado hawajafungwa nira. Muwafunge kwenye gari hilo lakini vitoto vyao visiende pamoja nao, lakini vibaki katika zizi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |