1 Samweli 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Watu wakauliza: “Tutamutolea nini kwa malipo ya makosa?” Wao wakawajibu: “Sanamu tano za zahabu mufano wa majipu, na sanamu tano za zahabu mufano wa panya, kufuatana na hesabu ya wakubwa wa Wafilistini, maana kulikuwa pigo moja tu, kwa ninyi wote na kwa wakubwa wenu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |