Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Walifanya kama walivyoambiwa; walitwaa ngombe wawili wenye kunyonyesha na kuwafunga kwenye gari, na vitoto vyao wakavifunga katika zizi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 6:10
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yakobo akamwambia: “Bwana wangu, wewe unajua kwamba watoto hawa ni wachanga, na kwamba nyama hawa wananyonyesha, nami ninapaswa kuwatunza. Kama nyama hawa watapelekwa mbio kwa siku moja, wote watakufa.


Kwa mara ya saba, yule mutumishi akarudia, akasema: “Ninaona wingu dogo kama mukono wa mutu linatoka katika bahari.” Elia akamwambia: “Kwenda umwambie mufalme Ahabu atayarishe gari lake la vita, ateremuke, asipate kuzuiliwa na mvua.”


Lile Sanduku la Yawe wakalitia kwenye gari hilo pamoja na kile kibweta chenye kuwa na sanamu za zahabu za panya na zile za majipu.


Lakini muangalie. Ikiwa gari hilo linakwenda moja kwa moja kuelekea inchi yake, ni kusema kwenye muji wa Beti-Semesi, basi, pale tutajua kwamba aliyetuletea pigo hili ni Mungu wa Israeli. Lakini kama haliendi kule, basi, tutajua kwamba sio mukono wake uliotupiga, lakini hasara hii imetupata kwa bahati mbaya.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ