1 Samweli 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Walituma wajumbe na kuwakusanya wakubwa wote wa Wafilistini na kuwauliza: “Tutafanya nini na Sanduku hili la Mungu wa Israeli?” Wakubwa wao wakajibu: “Sanduku hilo la Mungu wa Israeli mulipeleke Gati.” Basi, wakalipeleka kwenye muji wa Gati. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |