Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 5:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Ndiyo maana makuhani wa Dagoni na wote wanaoingia kumwabudu Dagoni kule Asidodi, wanapoingia kwenye hekalu la Dagoni hawakanyagi kizingiti cha hekalu la Dagoni mpaka leo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 5:5
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku hiyo nitawaazibu wote wanaoruka kizingiti cha nyumba kama wapagani, wanaojaza nyumba ya bwana wao vitu vya mateso na udanganyifu.


Huyo jemadari wa jeshi la Yawe akamwambia: “Vua viatu vyako kwa maana pahali unaposimama ni patakatifu.” Yoshua akafanya hivyo.


Bwana wa mwanamuke yule alipoamuka asubui, akafungua milango ya nyumba, akatoka inje kusudi aendelee na safari. Kwa rafla akamukuta habara yake amelala chini mbele ya mulango, mikono yake ikishika kizingiti cha mulango.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ