Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 5:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kisha, wakalipeleka Sanduku la Mungu kwenye hekalu la mungu wao Dagoni na kuliweka karibu naye.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 5:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakaweka silaha za Saulo katika hekalu la miungu yao, kisha wakatundika kichwa chake katika hekalu la Dagoni.


Kesho yake, Wafilistini walipokwenda kutwaa vitu vya wale waliouawa, wakakuta maiti ya Saulo na wana wake kwenye mulima Gilboa.


Kutokana na kunywa divai, mufalme Belsasari akatoa amri kwamba vile vyombo vya zahabu na feza ambavyo baba yake mufalme Nebukadneza alivyokamata kutoka hekalu la Yerusalema, viletwe kusudi avitumie kwa kunywea divai pamoja na wakubwa wake, wanawake wake na wahabara wake.


Pahali pake umejitukuza mwenyewe mbele ya Bwana wa mbinguni: umeleta vyombo vya nyumba ya Mungu ukavitumia kwa kunywea divai, wewe, wakubwa wako, wanawake wako na wahabara wako, na kuisifu miungu iliyotengenezwa na feza, zahabu, shaba, chuma, miti na mawe; miungu ambayo haioni, haisikii wala haijui jambo lolote. Lakini Mungu, ambaye uzima wako uko katika mukono wake, na njia zako ziko wazi mbele yake, haukumuheshimu!


Kisha wanasonga mbele kama upepo, wanapita na kufanya makosa. Nguvu zao ndio mungu wao!


Kwa hiyo, wanazitambikia nyavu zao, na kuzifukizia ubani; maana kwa njia ya vitu hivyo mapato yao yanaongezeka, na wanakuwa na chakula kingi.


Wakubwa wa Wafilistini wakakusanyika kwa kusherehekea na kumutolea mungu wao anayeitwa Dagoni sadaka. Basi, wakakuwa wanaimba: “Mungu wetu amemutia adui yetu Samusoni katika mikono yetu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ